Home About Press Clubs Multimedia Contact Us Staff Mail

SIKU YA MAADHIMISHO YA REDIO DUNIANI 2022

15-Feb-22
Katika kuadhimisha Siku ya Redio Duniani 2022, ambayo kilele chake ni Februari 13 kila mwaka, Waandishi wa Habari, Mameneja wa Redio na Wahariri toka Redio mbalimbali Mkoani Mwanza wamejumuika kwa kongamano la pamoja lililofanyika Mkoani.
 
Akizungumza katika ufunguzi wa kongamano hilo, mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel, amesema Serikali inathamini nafasi ya Redio katika kusaidia maendeleo ya Mkoa na nchi ya Tanzania  kwa ujumla.
 
Amesisitiza kuwa, wakati wowote ule Waandishi wa Habari za Redio wanayo fursa ya kukutana naye ofisini kwa ajili ya kuhabarisha na kuibua hoja za kimaendeleo Mkoani Mwanza.
 
Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Habari kwa mwaka huu 2022 ni "Redio na Uaminifu" ambayo inasisitiza mambo makuu matatu; "Waandishi wa Redio kuwa wabunifu na waadilifu", "kuwajua wasikilizaji na kuwapatia maudhui yanayolingana na mahitaji" na "Redio kutengeneza vyanzo vya fedha ili kukabiliana na masuala ya kiuchumi".
 
Kongamano hilo limeratibiwa na Shirika la Internews, kwa kushirikiana na FHi360, na Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza MPC ambayo iko chini ya Muungano wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC).



SIKU YA MAADHIMISHO YA REDIO DUNIANI 2022
15-Feb-22
WAMILIKI VYOMBO VYA HABARI WATAKIWA KUWALIPA WAANDISHI STAHIKI ZAO
14-Jan-22
UTPC YAPEWA TUZO
22-Oct-21
WAANDISHI WA HABARI WAPEWA MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA
22-Oct-21
SERIKALI YAANZA KUJENGA MAHUSIANO ENDELEVU NA WAANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MARA PRESS CLUB WAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
UTPC KUANDAA KANUNI ZA MAADILI YA UANDISHI WA HABARI
22-Oct-21
MWANZA PRESS CLUB YAENDESHA MDAHALO
22-Oct-21
WAFANYAKAZI WA UTPC WAJENGEWA UWEZO
22-Oct-21
MAHAKAMA KUU YA RUFAA MWANZA ITATOA MAAMUZI YA RUFAA YA SHERIA YA HUDUMA YA VYOMBO VYA HABARI (MSA) 2016 SIKU CHACHE ZIJAZO
19-Feb-21
NOTISI YA MKUTANO MKUU WA UTPC MWAKA 2020
08-Oct-20
UTPC YATOA FOMU ZA KUGOMBEA UJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI
08-Oct-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 11 ZAJIUNGA NA BIMA YA AFYA
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI 17 ZAKAMILISHA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAO
07-Aug-20
KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI ZAANZISHA BLOGU
07-Aug-20
TANZIA - TAARIFA ZA KIFO CHA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA UTPC NDUGU JACOB KAMBILI
30-Jul-20
UTPC YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UGONJWA WA COVID19 KWA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA.
02-Jun-20
MPC KUFAIDIKA NA VIFAA KINGA DHIDI CORONA TOKA EWURA
02-Jun-20
MPC YAPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA(PPE) TOKA TAASISI YA THE DESK AND CHAIRS FOUNDATION
02-Jun-20
Maazimisho ya Siku ya Haki za Binadamu yafanyika Mwanza kwa kuwashirikisha wanahabari
11-Dec-19
Afisa Miradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (Sida) atembelea Klabu za Waandishi wa Habari
06-Dec-19
Wito watolewa kwa Waandishi wa Habari kujiendeleza kielimu.
06-Dec-19
Sida na UTPC wakutana kujadili Mpango Kazi na Bajeti wa mwaka 2020.
29-Nov-19
Rais wa UTPC afungua mafunzo kwa waandishi wa habari Dodoma
29-Nov-19
Bodi ya Wakurugenzi ya UTPC yapitisha Mpango Kazi na Bajeti kwa mwaka 2020
29-Nov-19
Mlezi wa MPC Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa John Mongella
11-Oct-19
UTPC Potrays the real picture of Unity - H.E Dr. Ali Mohamed Shein
10-Sep-19
JAMII FORUMS : Winners of Daudi Mwangosi Award 2019
06-Sep-19
UTPC in Zanzibar for the Annual Members General Meeting
05-Sep-19
UTPC ARM: Presentation of results
03-Jul-19
INVITATION FOR CONSULTANCY SERVICES FOR MID TERM REVIEW OF UTPC STRATEGIC PLAN 2016-2020
03-Jul-19
UTPC: Annual Review Meeting 2019
03-Jul-19
Crash Course: Press Clubs
03-Jul-19